6 Oktoba 2025 - 13:27
Tangazo - Audio | Maulid Masjid Majmuuat Al-Islamiyyat - Temeke Mwisho | Sheikh Dr. Alhad Mussa Salum: “Tumuadhimishe Mtume (s) na Tufuate Nyayo Zake”

Kwa mujibu wa Sheikh Dr. Alhad Mussa Salum, maandalizi yote yamekamilika kwa kiwango cha juu, na wageni mbalimbali wakiwemo viongozi wa serikali, taasisi za kidini, na wageni mashuhuri wanatarajiwa kuhudhuria.

Tangazo - Audio | Maulid Masjid Majmuuat Al-Islamiyyat - Temeke Mwisho | Sheikh Dr. Alhad Mussa Salum: “Tumuadhimishe Mtume (s) na Tufuate Nyayo Zake”

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Sheikh Dr. Alhad Mussa Salum, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT-TAIFA), anawatangazia na kuwaalika Waislamu wote pamoja na wananchi kwa ujumla kuhudhuria Hafla Kubwa na Tukufu ya Maulid ya Mtume Muhammad (saww) itakayofanyika Ijumaa, tarehe 17 Oktoba 2025, katika Masjid Majmuuat Al-Islaamiyyat - Temeke Mwisho, Dar es Salaam, mara baada ya Swala ya Isha.

Kwa mujibu wa Sheikh Dr. Alhad Mussa Salum, maandalizi yote yamekamilika kwa kiwango cha juu, na wageni mbalimbali wakiwemo viongozi wa serikali, taasisi za kidini, na wageni mashuhuri wanatarajiwa kuhudhuria.

Kaulimbiu ya mwaka huu:
“Tumuadhimishe Mtume (s) na Tufuate Nyayo Zake.”

Your Comment

You are replying to: .
captcha